Songs
Artists
Genres
Track cover Nairobi

More songs by Marioo

  1. TETE
  2. MVUA
  3. DUNIA
  4. OLUWA
  5. HA HA HA
  6. Sober
All songs

More songs by Bien

  1. ⁠State Of My Heart
All songs

Description

Author: Marioo

Author: Bien

Producer: Kanibal

Composer: Marioo

Composer: Bien

Lyrics and translation

Original

Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh

Mmh (it's Kaniba)

Nilikutana naye Kilimani, Nairobi

Elfu mbili na kumi na tano

Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano

Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh

Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano

Ah, nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

She's my number, ah, number, ah moja

Nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

Now she's my number, ah, number, ah, moja

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

Ndio tushaoana

Tushaoana

Ndio tushaoana

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

Tulipatana Bongo, Mikocheni

Niko zangu beach nala upepo wa bahari

Alinipita kama meli

Anayumbayumba akidondosa kishenzi

Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie

Habari gani mbona uko lonely

Jina ni gani akasema Zari

Nikamwambia aje (aje)

Nikamwambia kwangu ni kwake

Nimshike wapi ndio aje

Nataka moyo wangu uwe wake

Watangoja sana

Wakidhania tutaachana

Mi' na yeye tumeshaivana

Naichapa usiku na mchana

Aiyaiyayah, aah

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)

Tushaoana

(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah

Oh, yeah, tushaoana

Ooh, alooh!

English translation

Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh

Mmh (it's Kaniba)

Nilikutana naye Kilimani, Nairobi

Elfu mbili na kumi na tano

Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano

Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh

Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano

Ah, nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

She's my number, ah, number, ah moja

Nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

Now she's my number, ah, number, ah, moja

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

Ndio tushaoana

Tushaoana

Ndio tushaoana

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

Tulipatana Bongo, Mikocheni

Niko zangu beach nala upepo wa bahari

Alinipita kama meli

Anayumbayumba akidondosa kishenzi

Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie

Habari gani mbona uko lonely

Jina ni gani akasema Zari

Nikamwambia aje (aje)

Nikamwambia kwangu ni kwake

Nimshike wapi ndio aje

Nataka moyo wangu uwe wake

Watangoja sana

Wakidhania tutaachana

Mi' na yeye tumeshaivana

Naichapa usiku na mchana

Aiyaiyayah, aah

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)

Tushaoana

(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah

Oh, yeah, tushaoana

Ooh, alooh!

Watch video Marioo, Bien - Nairobi

Track statistics:

Streams Spotify

Chart positions Spotify

Chart peaks

Views YouTube

Chart positions Apple Music

Shazams Shazam

Chart positions Shazam